Habari za Punde

Vikosi vya SMZ vyakamata Mafuta ya Magendo Kisiwani Pemba yakingizwa yakiingizwa kisiwani huo.


Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Pemba, ambae pia ni Kamanda wa opreretion Karufuu Kanda ya Pemba, Msaidizi Kamishna wa Zimamoto Zanzibar , Iddi Khamis Juma , akitowa maelezo kwa Waandishi wa  Habari huko Bandarini Uchangani Wesha .

 Mapipa ya Mafuta ya Disel ambayo yalikuwa yanaingizwa kisiwani  Pemba kwa njia ya Magendo na kukamatwa na Vikosi vya SMZ, Vilivyoko Mkumbuu wakati vikiwa katika Doria ya Kawaida.katika maeneo hayo. 
Wapiganaji wa Kikosi cha Zimamoto Pemba, wakipeleka Tangi la Mafuta yaliokamatwa kwenye Boti , inayofanya Doria huko katika Bandari ya Uchangani Wesha.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.