Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akisalimiana na
Viongozi wakiwemo wawekezaji Kampuni na wadau wa maendeleo wakati wa
uzinduzi wa Tamasha la Maonesho
ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development Carrier Fair in
Zanzibar”uliofanyika leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akisalimiana na
Viongozi wa mbali mbali wakati wa uzinduzi
wa Tamasha la Maonesho ya Fursa za Ajira
na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development Carrier Fair in
Zanzibar”uliofanyika leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akizungumza na Waziri
wa Ofisi ya Rais,Kazi na Utumishi wa Umma Haroun Ali Suleiman kabla ya uzinduzi wa
Tamasha la Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth
Development Carrier Fair in Zanzibar”uliofanyika leo katika Ukumbi wa
Salama,Hoteli ya Bwawani Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.]
Baadhi ya Viongozi wa Idara za Serikali ya Mapinduzi walioshiriki katika uzinduzi wa Tamasha la Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development Carrier Fair in Zanzibar”uliofanyika leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Vijana
walioshiriki katika uzinduzi wa Tamasha
la Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development
Carrier Fair in Zanzibar” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein alipozungumza nao leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya
Bwawani Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Vijana
walioshiriki katika uzinduzi wa Tamasha
la Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development
Carrier Fair in Zanzibar” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein alipozungumzanao leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya
Bwawani Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akikata utepe kama
ishara ya uzinduzi wa Tamasha la
Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana “Youth Development Carrier
Fair in Zanzibar” uliofanyika leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya
Bwawani Mjini Unguja, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akipata maelezo kutoka
kwa Taki Dewji wa banda la Shell wakati alipotembelea mabanda mbali mbali mara
baada ya kuzindua rasmi Maonesho ya Fursa za Ajira na Uzalishaji kwa vijana
“Youth Development Carrier Fair in Zanzibar” leo katika Ukumbi wa Salama,Hoteli ya
Bwawani Mjini Unguja, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamd Shein akipata maelezo kutoka
kwa Rose Tesha Meneja Vipindi katika banda la VSO wakati alipotembelea mabanda
mbali mbali mara baada ya kuzindua rasmi Maonesho ya Fursa za Ajira na
Uzalishaji kwa vijana “Youth Development Carrier Fair in Zanzibar” uzinduzi uliofanyika leo katika Ukumbi wa
Salama,Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja, [Picha
na Ikulu.]
Jamani natumai ni mapungufu ya kiuandishi tu haikutangaziwa rasmi kama ni Youth Development Carrier Fair in Zanzibar maana itakuwa ni aibu kwetu. inafaa iseme Career fair na sio Carrier, hizo zina maana mbili tofauti
ReplyDelete