Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecki
Sadiki akifungua mkutano wa Wajumbe wa Baodi ya Barabara ya Mkoa wea Dar es
salaam leo. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa Bi.Theresia Mmbando na Naibu
Waziri wa Kazi Mh.Makongoro Mahanga (kulia).
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia masuala
mbalimbali mada wakati wa mkutano huo.Baadhi ya wajumbe wakichangia mada wakati wa mkutano huo.
Mbunge wa Ubungo Mh.
John Myika akichangia kuhusu hali ya usafi na uimarishaji wa miundombinu katika
jiji la Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa
Bodi ya Barabara ya mkoa wa Dar es salaam Mh. Idd Azzan Mh. akichangia kuhusu
hali ya usafi na uimarishaji wa miundombinu katika jiji la Dar es salaam.
Mkuu wa Wilaya ya
Temeke Bi. Sophia Mjema(kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Raymond Mushi
wakifuatilia mkutano wa wajumbe wa Bodi ya barabara ya mkoa wa Dar es salaam
leo jijini Dar es salaam.
Meneja wa TANROADS mkoa
wa Dar es salaam Muhandisi J. Nyamukama akiteta jambo na baadhi ya wahandisi wa
ofisi yake leo jijini Dar es salaam wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara ya
mkoa wa Dar es salaam.(Picha na Aron Msigwa -Maelezo)
No comments:
Post a Comment