Kampuni ya Kichina inayofanya ujenzi katika uwanja wa kufurahisha watoto kariakoo ikiufanyia ukarabati mkubwa mtaro mwa maji machafu katika eneo hilo kuweza kusafirisha maji hayo ya mvua katika mtaro huo hadi katika mtaro mkubwa unaopeleka maji kilimani baharini.
Mafundi wakitandika makalavati kwa ajili kupitisha maji machafu na ya mvua katika mtaro huo.
SHIRIKA LA MISSION TANZANIA LALETA NEEMA YA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE
WALIOPATA MIMBA ZA UTOTONI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi
imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto w...
7 hours ago
Huu mtaro kama inawezekana ungeunganishwa na pale Kijangwani inaonekana tumeshindwa kabisa kupata ufumvuzi Wa kutuama maji aibu kweli.
ReplyDeleteMtaro Architecture amefeli hapo. Anahitajo atumie water Cad otherwise I see an issue already by visible eye.
Delete