Habari za Punde

Uimarishaji Mtoro wa Maji Machafu

 Kampuni ya Kichina inayofanya ujenzi katika uwanja wa kufurahisha watoto kariakoo ikiufanyia ukarabati mkubwa mtaro mwa maji machafu katika eneo hilo kuweza kusafirisha maji hayo ya mvua katika mtaro huo hadi katika mtaro mkubwa unaopeleka maji kilimani baharini.
       Mafundi wakitandika makalavati kwa ajili kupitisha maji machafu na ya mvua katika mtaro huo.

2 comments:

  1. Huu mtaro kama inawezekana ungeunganishwa na pale Kijangwani inaonekana tumeshindwa kabisa kupata ufumvuzi Wa kutuama maji aibu kweli.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mtaro Architecture amefeli hapo. Anahitajo atumie water Cad otherwise I see an issue already by visible eye.

      Delete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.