Kampuni ya Kichina inayofanya ujenzi katika uwanja wa kufurahisha watoto kariakoo ikiufanyia ukarabati mkubwa mtaro mwa maji machafu katika eneo hilo kuweza kusafirisha maji hayo ya mvua katika mtaro huo hadi katika mtaro mkubwa unaopeleka maji kilimani baharini.
Mafundi wakitandika makalavati kwa ajili kupitisha maji machafu na ya mvua katika mtaro huo.
DKT. TULIA ACKSON AACHIA MBIO ZA USPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
-
Dkt. Tulia Ackson ametangaza kujiondoa rasmi katika kugombea nafasi ya
Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CC...
1 hour ago

Huu mtaro kama inawezekana ungeunganishwa na pale Kijangwani inaonekana tumeshindwa kabisa kupata ufumvuzi Wa kutuama maji aibu kweli.
ReplyDeleteMtaro Architecture amefeli hapo. Anahitajo atumie water Cad otherwise I see an issue already by visible eye.
Delete