Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiadhimisha maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW). Maulid hayo ya kila mwaka yaliyofanyika hoteli ya Bwawani, yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, pamoja na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment