Kocha wa Al Hilal akitowa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati wakiwa katika mazoezi uwanja wa Amaan Zanzibar wakijiandaa na mchezo wao wa marudiano na timu ya KMKM unaotarajiwa kufanyika jumamosi hii katika uwanja wa Amaan Zanzibar wakiingia uwanjani wakiwa na ushindi walioupata nyumbani wanahitaji sare ili kusonga mbele na Timu ya KMKM inahitaji ushindi wa mabao matatu bila, ili kusonga mbele.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment