Habari za Punde

Kimenuka! Mmoja akitekeleza wajibu mwengine akijitetea

 ASKARI Polisi wa kituo cha Polisi Konde wilaya ya Micheweni Pemba, akimkwida kijana ambae hakupatikana jina lake kwa tuhuma za kuchimba mchanga wa wizi kwa kutumia gari lake la Ng’ombe ambapo askari huyo hakufanikiwa kumfikisha kituoni kijana huyo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
ASKARI Polisi wa kituo cha Polisi Konde wilaya ya Micheweni Pemba akiendelea kuzozana na kijana anaedaiwa kuchimba mchanga wa wizi. (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.