Habari za Punde

Mafunzo ya haki za binadamu kwa waandishi wa habari yafanyika Pemba

 BAADHI ya wandishi wa habari kisiwani Pemba, wakimsikiliza Mratibu wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akitoa historia fupi ya kituo hicho, kwenye mafunzo ya haki za binadamu kwa waandishi hao, yaliofanyika kituoni hapo Chake chake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MWENYEKITI wa Klabu ya waandishi wa habari Pemba ‘PPC’, Khatib Mjaja akifungua mafunzo ya haki za binadamu kwa waandishi wa habari, yalioandaliwa na Kituo cha huduma za sheria Zanzibar ‘ZLSC’ tawi la Pemba, kulia ni Mratibu wa kituo hicho Fatma Khamis Hemed na kushoto ni afisa mipango wa kituo Safia Saleh Sultan, (picha na Haji Nassor, Pemba).
MKUU wa shirika la magazeti ya serikali Zanzibar ofisi ya Pemba , Bakar Mussa Juma, akitoa neno la shukurani baada ya hutuba ya mgeni rasmi, kwenye mafunzo ya haki za binadamu kwa waandishi wa habari kisiwani humo yalioandaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLSC, (Picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.