Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KIKAO-KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI WA MASHIRIKA YA UMMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo wakati alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) kufungua Kikao-kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba (NHC) Hamad Abdallah kuhusu miradi mbalimbali ya makzi ya bei nafuu, wakati akikagua mabanda ya maonesho katika katika ufunguzi wa Kikao-kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC)


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati akifungua Kikao-kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kinachofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha (AICC) 







 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.