WAFANYAKAZI wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Kisiwani Pemba, wakiwa juu ya Paaa la nyumba inayomilikiwa na Kombo Othaman, iliyoko maeneo ya Makondeko Machomanne wakitoa msaada wa kuzima moto uliounguza chumba cha watoto katika nyumba hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
DC KASILDA AWAFUNDA WANAFUNZI WASHIRIKI WA UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.
-
Na WILLIUM PAUL, SAME.
MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewasihi
wanafunzi 120 kutoka wilayani humo wanaoelekea kushiriki mashi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment