Habari za Punde

Timu ya Zeco yaitwanga Best point Hoteli 1-0

 Kikosi cha timu ya ZECO FC kilichoifunga timu ya Best Point Hotel Limited ya Dar es Salaam kwa goli 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye viwanja vya hosteli za Mabibo

Kikosi cha timu ya Best Point Hotel Limited ya Dar es Salaam

 Mmoja wa kiongozi wa ZECO FC Faina Idarous Faina akitoa maelekezo wakati wa mapumziko

 Kocha mkuu wa timu ya ZECO FC Said (Njunju) akitoa maelezo kwa wachezaji wake wakati wa mapumziko. Kufuatia mawaidha hayo ndio yaliyozaa bao 1-0 lililofungwa mwanzoni mwa kuanza kipindi cha pili. Katika mchezo huo zeco imeshinda 1-0.

Kikosi cha timu ya ZECO FC kikipasha kabla ya kuanza mchezo wake baina ya timu ya Hoteli ya Best Point Limited ya Dar es Salaam. Mchezo ulioisha kwa ZECO FC kuifunga timu ya Best Point 1-0



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.