KIJIKO cha Baraza la Manispa Zanzibar likilifanyia usafi moja ya jaa katika
maeneo ya mitaa ya michezani na
misufini, ili kuweka mazingira safi ya eneo hilo, hasa ikizingatiwa kipindi hichi cha mvua za masiki zikiaza
kunyesha. Taka hizo zinaweza kuleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment