KIJIKO cha Baraza la Manispa Zanzibar likilifanyia usafi moja ya jaa katika
maeneo ya mitaa ya michezani na
misufini, ili kuweka mazingira safi ya eneo hilo, hasa ikizingatiwa kipindi hichi cha mvua za masiki zikiaza
kunyesha. Taka hizo zinaweza kuleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment