KIJIKO cha Baraza la Manispa Zanzibar likilifanyia usafi moja ya jaa katika
maeneo ya mitaa ya michezani na
misufini, ili kuweka mazingira safi ya eneo hilo, hasa ikizingatiwa kipindi hichi cha mvua za masiki zikiaza
kunyesha. Taka hizo zinaweza kuleta madhara kwa wakaazi wa eneo hilo
TISEZA na TCB kushirikiana kurahisisha huduma kwa wawekezaji
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi
Tanzania (Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority –
TISEZA), Gilead...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment