Waandishi wa Habari za Michezo Zanzibar leo ilibidi kuonja joto ya jiwe baada ya kukuta mlangoni agizo la kutakiwa kulipa kiingilio kuona mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar ilioaza leo katika uwanja wa amaan kati ya timu ya JKU na Shaba, Kama wanavyoonekana wakiwa katika mlango wa VIP wakiwa wamezuiliwa nav kulazimika kulipa kiingilio cha shilingi 1000/- na kuona mchezo huo na kuripoti katika vyombo vyao
Hapa kiingilio tu
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
28 minutes ago
hivyo ndivyo inavyotakiwa hasa sio kwakuwa wao waandishi wa habari ndio wapite bure, kwani wao hizo habari wanatowa bure? hawauzi au hawalipwi mishahara?, na hapo nyumbani mchezo huu upo kila pahala mpaka kwenye daladala majeshi na polisi hawalipi nauli hii wameona wapi? nasikia na mawaziri hawalipi umeme sasa kweli tutaendelea hivyo?
ReplyDelete