KIONGOZI wa msafari wa wabunge wa Bunge la Norway Bw: Geir Hermansen akizungumza na wananchi wa Tumbe wilaya ya Micheweni Pemba alipofika kwenye soko la kijiji hicho kuangalia maendeleo na matumizi ya nishati ya umeme, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WABUNGE kutoka Norway wakiangalia bidhaa ya inayotengenezwa kwa mnazi wakati walipofika Konde wilaa ya Micheweni Pemba kuangalia matumizi ya umeme kutoka Tanga- Pemba unavyosaidia kuimarisha maisha ya wananchi, (picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment