Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya, John Michael Haule, wakati Balozi huyo alipofika Osifini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kumuaga leo Mei 27 2015. Picha na OMR
MEI MOSI YAFANA ARUSHA, RC MAKONDA ALIA NA UBOVU WA BARABARA
-
Na. Vero Ignatus Arusha
Maadhimisho ya sherehe za mei mosi kit aifa yamefanyika Mkoani Arusha
ambapo yamekuwa na zaidi ya waandamanaji 7000 mbali na ...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment