GARI aina ya ya sagamawe ikishindilia kifusi katika barabara ya Chake Chake Mjini, kipande hicho cha barabara ambacho kimeharibika hali iliyowafanya Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba, kukifanyia ukarabati kama kinavyoonekana katika Picha(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
Kamati ya Ukaguzi TARURA yatembelea Miradi minne ya barabara Shinyanga
-
Shinyanga
IKIWA katika muendelezo wa ziara yake ya kutembelea utekelezaji wa miradi
ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, Kamati ya Ukaguzi ya TARURA
...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment