Habari za Punde

Fidel Castro yaibuka kidedea Kombe la CCM jimbo la Wawi

 WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa, akisalimiana na wachezaji wa timu ya Fidel Castro, kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, dhidi ya Wawi star, uliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel iliibuka na ubingwa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa, akisalimiana na wachezaji wa timu ya Wawi star, kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, dhidi ya Fidel castro, uliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel ilitazwa ubingwa (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 KUKOSEKANA kwa machela maalumu kwenye michuano mbali mbali inayochezwa uwanja wa Gombani, husababisha kwa wachezaji kubebana wenyewe, kama juzi kwenye michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, ambapo timu ya Wawi star ikimtoa mchezaji wao Salum Abdalla baada ya kupata majeraha, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa akikabidhi zawadi kwa makamu bingwa wa michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, nahoza wa timu ya Wawi star Azhar Mbarouk, fainali hiyo iliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel ilitazwa ubingwa (Picha na Haji Nassor, Pemba).  
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pro: Makame Mnyaa Mbarawa akikabidhi zawadi ya ushindi bingwa wa michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, nahoza wa timu ya Fidel Castro Shurubu Ali, fainali hiyo ilichezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.