MKURUGENZI Mtendaji wa TAQWA Tanzania Dk.Salha
Mohamed Kassim, akizungumza na walezi wanaolea watoto mayatima wa Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole huko Markas ole.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WALEZI wanaolea watoto mayatima wa Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, wakimsikilisa Mkurugenzi
Mtendaji TAQWA Tanzania Dk. Salha Mohamed Kassim, wakati alipokuwa akizungumza
nao huko huko Markas Ole.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
SHEHA wa shehia ya Mchanga Mrima Wilaya ya Chake
Chake, Omar Suleiman akizunguma na waumini wa dini ya Kiislam wakati wa ugawaji
wa msaada wa Chakula kwa walezi wanaolea watoto mayatima huko katika kiwanja
cha Markaz Ole Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MLEZI wa Jumuiya ya Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya
Waislam jimbo la Ole, Abdalla Mohamed Kassim akizungumza na walezi wanaolea
watoto Mayatima waliochini ya Jumuiya hiyo wakati wa ugawaji wa msaada wa Chakula
kwa watoto Mayatima.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
AMIRI wa Jumuiya ya Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya
Jimbo la Ole, Ustadhi Omar Khamis akizungumza katika hafla ya Utoaji wa msaada
wa Chakula kwa walezi wanaolea watoto Mayatima huko Ole Markazi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKURUGENZI Mtendaji wa TAQWA Tanzania Dk.Salha
Mohamed Kassim, akimkabidhi mafuta ya kupikia Mlezi wa watoto mayatima, ambapo
kila mlezi alipatiwa mafuta, mchele, unga wa ngano, Tende na Chumvi, msaada
ambao umetolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto yatima wa
Majumbani Tanzania (TAQWA) .(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
WALEZI wanaolea watoto mayatima wa Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, wakisubiri gari kuwakilia
misaada yao waliopatiwa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto yatima
wa Majumbani Tanzania (TAQWA) .(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
WALEZI wanaolea watoto mayatima wa Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, wakipakia misaada yao
waliopatiwa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto yatima wa
Majumbani Tanzania (TAQWA) .(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
WALEZI wanaolea watoto mayatima wa Jumuiya ya
Tahfidh Qur-an na Maendeleo ya Waislam jimbo la Ole, wakisubiri gari kuwakilia
misaada yao waliopatiwa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto yatima
wa Majumbani Tanzania (TAQWA) .(Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment