Habari za Punde

Naam! Kazi ni Kazi tu

KAZI ni kazi, alimradi iwe ya halali na kisha mkono uende kinywani, ndio ishara inayoonekana kwa kijana huyu ambae hakupatikana jina lake, katika eneo la Mkoani Pemba, akiwa amebeba madumu matupu ya mafuta ya kupikia kama sehemu ya kazi yake, (picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.