KAZI ni kazi, alimradi iwe ya halali na
kisha mkono uende kinywani, ndio ishara inayoonekana kwa kijana huyu ambae
hakupatikana jina lake, katika eneo la Mkoani Pemba, akiwa amebeba madumu
matupu ya mafuta ya kupikia kama sehemu ya kazi yake, (picha na Haji Nassor, Pemba).
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment