KAZI ni kazi, alimradi iwe ya halali na
kisha mkono uende kinywani, ndio ishara inayoonekana kwa kijana huyu ambae
hakupatikana jina lake, katika eneo la Mkoani Pemba, akiwa amebeba madumu
matupu ya mafuta ya kupikia kama sehemu ya kazi yake, (picha na Haji Nassor, Pemba).
HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA YAKUSANYA BILIONI 12.4 KATI YA LENGO LA
KUKUSANYA BILIONI 8.2
-
Mbinga-Ruvuma.
Halimashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma,imekufanikiwa kukusanya
Sh.bilioni 12.2 kati ya lengo la awali la kukusanya Sh.bilioni 8.4 had...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment