MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Bima Zanzibar ‘ZIC’ Abdul-nassir Ahmed (kulia), akimkabidhi magodoro 60 daktari dhamana wa hospitali kuu ya Chake chake Pemba, Yussuf Hamad Iddi, hafla iliofanyika hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WATENDAJI wakuu wa Shirika la bima Zanzibar, ‘ZIC’ wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Abdul-nassir Ahmed mwenye suti na tai, wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali kuu ya Chake chake, ukiongozwa na daktari dhamana wa hospitali hiyo Yussuf Hamad Iddi (mwenye kofia), muda mfupi baada ya shirika hilo kukabidhi magodoro 60 hospitali hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la
Bima Zanzibar ‘ZIC’ Abdull-nassir Ahmed, akizungumza na waandishi wa habari,
muda mfupi baada ya kukabidhi magodoro 60 kwa uongozi wa hospitali kuu ya Chake
chake, hafla iliofanyika hospitalini hapo, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment