Habari za Punde

Uchukuaji wa Lumbesa Mizigo Huleta Adha kwa Watumiaji wengine

Uchukuzi wa mizigo kupita kiasi cha tani ya gari huleta madhara kwa mwenye gari na watumiaji wa barabara wakati linapotokea tatizo la kiufundi au kuanguka kwa mizigo hiyo kama inavyoonekana vijana hawa wakiwa katika barabara ya Muembeledu wakiondoa magunia ya mkaa baada ya kupakiwa katika gari kupita uwezo wake na kuanguka katika barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.