IPOHAJA kwa makampuni yanayojenga barabara kisiwani Pemba, mara wamalizapo kazi hiyo inayoambatana na uchimbaji wa kifusi, kufukia mashimo yenye kina kirefu, kama eneo lililopo karibu na redio Jamii Micheweni, ambapo pia linahatarisha nguzo kuu za umeme kupata mtikisiko hasa kipindi cha mvua, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
DKT. KIKWETE: NCHI ZA AFRIKA ZINAHITAJI KUWEKEZA ZAIDI KATIKA TAFITI NA
KILIMO
-
Na.Vero Ignatus ARUSHA
Mkutano wa Kimataifa wa Kupambana na Umasikini umefanyika Jijini Arusha kwa
lengo la Kuwaunganisha wataalamu wa utafiti na watunga ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment