IPOHAJA kwa makampuni yanayojenga barabara kisiwani Pemba, mara wamalizapo kazi hiyo inayoambatana na uchimbaji wa kifusi, kufukia mashimo yenye kina kirefu, kama eneo lililopo karibu na redio Jamii Micheweni, ambapo pia linahatarisha nguzo kuu za umeme kupata mtikisiko hasa kipindi cha mvua, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TET NA TAKUKURU KUENDELEZA USHIRKIANO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya Rushwa nchini
kupit...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment