IPOHAJA kwa makampuni yanayojenga barabara kisiwani Pemba, mara wamalizapo kazi hiyo inayoambatana na uchimbaji wa kifusi, kufukia mashimo yenye kina kirefu, kama eneo lililopo karibu na redio Jamii Micheweni, ambapo pia linahatarisha nguzo kuu za umeme kupata mtikisiko hasa kipindi cha mvua, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
HUYU NDIYE UGIN MKINGA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MADABA
-
Ruvuma.
Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya
Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la ...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment