Tume ya Uchaguzi Zanzibar imetoa matokeo ya uchaguzi wa Rais ambayo yamehakikiwa kutoka baadhi ya maeneo visiwani humo. Kufikia sasa Tume hiyo imetangaza matokeo kutoka majimbo 31 kati ya 54.
Matokeo hayo yaliyokuwa yametangazwa kufikia saa mbili jioni Oktoba 27 ni kama ifuatavyo:
Matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar (Majimbo31/54) | |||
---|---|---|---|
Jina | Chama | Kura | Asilimia |
ACT-W | 189 | 0.1 | |
Juma Ali Khatib | ADA-TADEA | 93 | 0.0 |
Hamad Rashid | 252 | 0.1 | |
Said Soud Said | AFP | 223 | 0.1 |
Ali Khatib Ali | CCK | 240 | 0.1 |
Ali Mohamed Shein | CCM | 139,557 | 57.9 |
Mohammed Massoud Rashid | CHAUMMA | 257 | 0.1 |
Seif | CUF | 93,699 | 38.9 |
Taibu Mussa Juma | DM | 118 | 0.0 |
Abdalla Kombo Khamis | DP | 86 | 0.0 |
Kassim Bakar Aly | JAHAZI | 227 | 0.1 |
Seif Ali Iddi | NRA | 63 | 0.0 |
Issa Mohammed Zonga | SAU | 127 | 0.1 |
Hafidh Hassan Suleiman | TLP | 107 | 0.0 |
Zanzibar ina jumla ya wapiga kura 503,860 waliojiandikisha kupiga kura, kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Chanzo: BBC
INASIKITISHA SANA KWAMBA CCM HAIHESHIMU WANANCHI WAKE KWANI ZANZIBAR NI YA CCM IPI ILIKUWEPO MWANZO ZANZIBAR AU CCM ACHENI UHAFIDHINA HUO
ReplyDeleteHIVI SASA TAYARI MUMESHA ZUNGUKWA NA JEHANAM KWA HAKI ZETU MLIZO ZIPORA TANGU 1995
MUOGOPENI MUNGU NYIE IYO TUME NI HAPA DUNIANI MAALIM SEIF SIO MJINGA HAWEZI KUFUKUA MAKABURI WAKATI ANAJUA MUNGU NDIE HAKIMU WA KWELI HAWEZI KUWAPOKEA MIZIGO YA MADHABI KWA KULIPIZA KISASI WAKATI ANAJUA NYINYI MUNACHO KICHUMA KATIKA MEMA KINAINGIA KATIKA AKAUNTI YAKE HAMNA CHA KUMLIPA MUOMBENI RADHI MAALIM KABLA HAMJAFA ILI AWASAMEHE DUNIANI NA AKHERA
BIN ALI MTAMBWE NYALI