Moja ya Utamaduni wa Zenj ni kofia ya Kiua Wazee wa Zamani walilikuwa ni moja ya vazi lao wakati wa Jioni na siku za kawaida huvaa kofia na kazu ya darzi wakiwa wameshika bakora na viatu vya makubazi ndio vyazi la asili ya Zanzibar. Bei ya Kofia hizi sasa zimekuwa na bei ya juu kuazia shilingi Elfu Hamsini na kuendeldea kutegemeana na kofia yenyewe ikiwa na mji gani.
TET NA TAKUKURU KUENDELEZA USHIRKIANO KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
-
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa
(TAKUKURU) kuendeleza ushirikiano katika mapambano dhidi ya Rushwa nchini
kupit...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment