Moja ya Utamaduni wa Zenj ni kofia ya Kiua Wazee wa Zamani walilikuwa ni moja ya vazi lao wakati wa Jioni na siku za kawaida huvaa kofia na kazu ya darzi wakiwa wameshika bakora na viatu vya makubazi ndio vyazi la asili ya Zanzibar. Bei ya Kofia hizi sasa zimekuwa na bei ya juu kuazia shilingi Elfu Hamsini na kuendeldea kutegemeana na kofia yenyewe ikiwa na mji gani.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment