Habari za Punde

Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wafanya ziara kisiwa cha Tumbatu

 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika Boti kuelekea katika kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya kuwatembelea wanafunzi wa madrasa na wananchi mbalimbali katika ziara yao ya siku mbili ili kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.
 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika Kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya kuwatembelea wanafunzi wa madrasa na wananchi mbalimbali katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.

 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwasalimia wanafunzi wa madrasa na walimu waliokuja kuwa pokea katika Kisiwa cha Tumbatu katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.

 Wanafunzi kutoka Uturuki na Bosnia wakiwa katika picha ya pamoja na  wanafunzi wa madrasa na walimu  katika Kisiwa cha Tumbatu katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.
Kiongozi wa Wanafunzi Omar akimkabidhi Mzee wa kijiji cha Tumbatu Msaada wa Chakula katika ziara yao ya siku mbili ya kujenga urafiki baina yao na watu wa Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.