IPO haja kwa wananchi kuchukuwa tahadhari wakati
wanapopanda katika daladala, picha gari ya abiria ruti ya Vitongoji Chake
Chake, ikiwa imening'iniza watu saba kwenye kibao cha nje, wakati ilipokuwa
ikielekea Vitongoji kutoka Chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Waziri Jafo Akizungumzia Mafanikio ya Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.
Selemani Jafo amesema ajenda ya kutumia nishati safi ya kupikia ni ya
muhimu ili...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment