IPO haja kwa wananchi kuchukuwa tahadhari wakati
wanapopanda katika daladala, picha gari ya abiria ruti ya Vitongoji Chake
Chake, ikiwa imening'iniza watu saba kwenye kibao cha nje, wakati ilipokuwa
ikielekea Vitongoji kutoka Chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MADINI YA ALMASI YENYE THAMANI YA TSH 1.7 BILIONI YAKAMATWA YAKITOROSHWA
UWANJA WA NDEGE MWANZA
-
▪️Waziri Mavunde awapongeza RC Mtanda,Kamati ya Usalama,Uwanja wa Ndege na
Kikosi kazi Madini
▪️Aelekeza uchunguzi zaidi kubaini mtandao wote wa wahusik...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment