IPO haja kwa wananchi kuchukuwa tahadhari wakati
wanapopanda katika daladala, picha gari ya abiria ruti ya Vitongoji Chake
Chake, ikiwa imening'iniza watu saba kwenye kibao cha nje, wakati ilipokuwa
ikielekea Vitongoji kutoka Chake Chake.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
ANNA KILANGO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE AKITANGAZA KUVUNJWA MAKUNDI NDANI YA
CCM.
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
MBUNGE mteule wa Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Same mashariki
wilayani Same mkoani Kilimanjaro, Anna Kilango Malecel amechuk...
49 minutes ago
No comments:
Post a Comment