Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na kiongozi wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, baada ya kushiriki mazishi ya Mbunge huyo mstaafu wa CUF.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitia mchanga katika kaburi la marehemu Bi. Amina Abdallah Amour katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar. Marehemu Bi. Amina ambaye alifariki ghafla jana mchana, aliwahi kuwa Mbunge wa Viti maalum (CUF) katika awamu iliyopita na baadaye kujiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na kiongozi wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, wakiwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar kushiriki mazishi hayo
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akiwapungia mkono wananchi katika mtaa wa Mwembe Tanga Zanzibar, katika hafla ya mazishi ya Mbunge huyo Mstaafu wa CUF.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment