Habari za Punde

Matukio Kutoka Pemba

MKUFUNZI wa masuala ya habari kwa watoto Margareth James kutoka Shinyanga, akimsikiliza mmoja wa wanafunzi wa skuli ya msingi Michezani, wakati alipokuwa akiwasilisha mada ya habari kwa wanafunzi wa skuli za msingi Tumbe na Michenzani, Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyofadhiliwa na SOS ofisi ya Pemba.

Wanafunziwa Skuli ya Msingi Michenzani na Tumbe, wakimsikiliza kwa makini mkufunzi wa mafunzo ya Habari kwa watoto Margareth James, kutoka Shinyanga wakati wa mafunzo ya siku mbili yaliyofadhiliwa na SOS huko maabara Wawi Kisiwani Pemba.
 Mratibu wa Uwendeshaji na Utumishi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amani Pemba, Mussa Khamis Mussa, akifungua mafunzo ya Habari kwa wanafunzi wa skuli za msingi Michenzani na Tumbe, huko katika ukumbi wa maabara Chake Chake Pemba 
 Mkufunzi wa masuala ya habari kwa watoto Margareth James kutoka Shinyanga, akiwafahamisha wanafunzi wa skuli ya Msingi Tumbe na Michenzani kisiwani Pemba, juu ya umuhimu wa utoaji wa habari huko katika ukumbi wa Maabara Wawi Kisiwani Pemba
Mjumbe wa Kamati ya siasa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majidi Abdalla, akizungumza na vijana wa UVCCM wilaya ya Mkoani mkoa wa kusini Pemba, juu ya kutokukubali kushawishiwa na vyma vya upinzania juu ya Uchaguzi.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.