Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Jangombe Boys na Mafunzo Uliofanyika jana Usiku Uwanja wa Amaan.Timu hizo zimetoka sare ya 1--1

Mchezaji wa timu ya Kijichi na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa kiporo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika jana usiku uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Mshambuliaji wa timu ya Jangombe Boys akimpita beki wa timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
Mchezaji wa timu ya Jangombe Boys akimiliki mpira huku beki wa timu ya Mafunzo akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wao huo uliofanyika uwanja wa Amaan jana usiku. 
Wachezaji wa timu ya Jangombe Boys na Mafunzo wakiwania mpira.
Wachezaji wa timu ya Mafunzo wakimzonga muamuzi wa mchezo huo baada ya kutoa kadi ya njano kwa mchezaji wao kwa kitendo cha utovu wa nidhamu wakati akishangilia bao la kuzawazisha kwa kutowa sehemu yake ya siri kwa mashabiki wa jukwaa la urusi.
Mchezaji wa timu ya Jangombe Boys akimpita beki wa timu ya Mafunzligi wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika jana usiku uwanja wa amaan timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1. 





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.