PIKIPIKI hii ambayo mtu aliyeiegesha hakujulikana mara moja, ilipata ajali ya kuangukiwa na matawi ya mti katika eneo la Majestic mjini Zanzibar mkabala na kituo cha Polisi, kama ilivyonaswa na kamera ya Zanzibar Leo jana asubuhi. (Picha na Salum Vuai).
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment