Habari za Punde

Hafla ya Kuapishwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ikulu Jana.

Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akisalimiaiongozi wa Dini alipowasili Ikulu Zanzibar kuhudhuria hafla ya kuapisha na Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Makamu wa Rais Mteuli Balizi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mshauri wa Rais Utamaduni Mhe Chimbeni Kheri alipowasili Ikulu Zanzibar kwa ajili ya kuapisha kushika nafasi hiyo kwa mara ya Pili.cha miaka mitano.
Balosi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mstahiki Meya wa Mji wa Zanzibar Mhe Khatib Abdurahaman Khatib Ikulu Zanzibar wakati wa hafla hiyo.
Balozi Seif Ali Iddi akipitia hati ya kiapio kabla ya kuahafla hiyo ya kuapishwa kushika nafasi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwa mara ya Pili, akiwa na Mkewe Mama Asha Balozi Seif.
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe Omar Othman Makungu na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulid wakihudhuria hafla hiyo ya kuapishwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ikulu Zanzibar.
Waheshimiwa Washauri wa Rais wa Zanzibar wakihudhuria hafla ya kuapishwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Ikulu Zanzibar.
Viongozi wa Dini Zanzibar wakihudhuria hafla ya kuapishwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ikulu Zanzibar.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akiwasili katika ukumbi wa hafla ya kumuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi. Ikulu Zanzibar.,  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balizi Seif Ali Iddi,hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar, 30-3-2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balizi Seif Ali Iddi,hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar, 30-3-2016.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimpongeza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi baada kumaliza hafla ya kumuapisha Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na familia yake baada ya hafla hiyo ya kuapishwa jana 30-3-2016 Ikulu Zanzibar. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.