Habari za Punde

Uwanja wa Mao: Lini Utaanza ujenzi wake?




Mchoro wa Uwanja Mpya wa Mpira wa kisasa katika viwanja vya Mao Tse Tung, uliowakilishwa na kampuni ya Uchoraji ya Kichina kwa aliyekuwa Waziri Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mhe Said Ali Mbarouk, wizarani ili kuona kama kuna mapungufu ili kufanyiwa marekebisho zaidi kabla ya kuanza kwa ujenzi wake.  Kama unavyooonekana pichani

Mchoro huu uliwasilishwa tokea mwaka jana 2015 mwezi Machi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.