Credit: Talib Ussi
Watia Nia Nafasi za Ubunge na Uwakilishi Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wachukua Fomu za Kugombea Nafasi Hizo
-
KATIBU wa CCM Wilaya ya Mfenesini, Veronica Ndaro, akimkabidhi Mihayo Juma
Nhunga, fomu ya kuwania uwakilishi wa jimbo la Mwera.
KATIBU wa CCM Wilaya ya M...
44 minutes ago
Huu ndo uwanja wa ndege wa Zanzibar?
ReplyDeleteNi jengo jipya la huduma kwa wasafiri watakao tumiya uwanja wa ndege wa kimataifa.
ReplyDeletemuandishi unatuboa sasa unaweka picha hamna maelezo ndio vipi?, au ndo tuagulie tu.
ReplyDeleteMimi nimeambiwa hii ni airport ya Kisumu Kenya. Na hapa naona hakuna jawabu iliyotolewa
ReplyDelete