Credit: Talib Ussi
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
2 hours ago
Huu ndo uwanja wa ndege wa Zanzibar?
ReplyDeleteNi jengo jipya la huduma kwa wasafiri watakao tumiya uwanja wa ndege wa kimataifa.
ReplyDeletemuandishi unatuboa sasa unaweka picha hamna maelezo ndio vipi?, au ndo tuagulie tu.
ReplyDeleteMimi nimeambiwa hii ni airport ya Kisumu Kenya. Na hapa naona hakuna jawabu iliyotolewa
ReplyDelete