Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Mhe Shaka Hamdu Shaka akiongoza Vijana katika kusherehekea Ushindi wa Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, baada ya Kutangazwa Mshindi wa Uchaguzi huo na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha S Jecha katika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
Kilimanjaro Marathon 2026 Yazinduliwa Dar es Salaam
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar
es Salaam, Albert Chalamila, amezindua toleo la 24 ...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment