Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Mhe Shaka Hamdu Shaka akiongoza Vijana katika kusherehekea Ushindi wa Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, baada ya Kutangazwa Mshindi wa Uchaguzi huo na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha S Jecha katika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment