Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Mhe Shaka Hamdu Shaka akiongoza Vijana katika kusherehekea Ushindi wa Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, baada ya Kutangazwa Mshindi wa Uchaguzi huo na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jecha S Jecha katika Ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment