Habari za Punde

Baraza la Mawaziri Lililoapishwa Leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein Ikulu Zanzibar.

 Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Mhe,Hamad Rashid. Mohamed 
 Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe,Balozi Amina Salum Ali.
 Waziri asiyekua na Wizara Maalum Mhe Soud Said Soud
 Waziri Asiyekua na Wizara Maalum Mhe Juma  Ali Khatib.
 Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira –  Mhe. Salama Aboud Talib.
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi Gavu
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohameed Aboud Mohammed
 Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo – Mhe. Rashid Ali Juma
 Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Mhe, Moudline Castico.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria Utumushi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman.
 Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji Mhe,Balozi Ali Abeid Karume.
 Waziri wa Afya - Mhe. Mahmoud Thabit Kombo.
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara

  Maalum za SMZ -  Mhe. Haji Omar Kheri.
 Waziri wa Fedha na Mipango – Mhe. Dkt. Khalid Salum
   Mohammed
 Naibu Waziri wa Afya- Mhe. Harusi Said Suleiman
 Naibu Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo -   Mhe. Bibi Chum Kombo Khamis.
Naibu Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira      Mhe. Juma Makungu Juma. 
Naibu Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi -    Mhe. Lulu Msham Abdulla
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora - Mhe.  Khamis    Juma Maalim.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Mmanga Mjengo Mjawiri.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji - Mhe. Mohammed Ahmad Salum.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.