Msafara wa Mapokezi ya Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka alipowasili Mkoani Tanga kwa ziara ya Kikazi.
Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Mhe. Mustafa Mhina akimpokea Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa Ndg.Shaka Hamdu Shaka mara baada ya kuwasiri katika ofisi za CCM
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Ndg Shaka Hamdu Shaka akipokelewa na Vijana wa Chipukizi na kumvisha Kiskafu ikiwa ishara ya kupokelewa katika Mkoa huo akiwa katika ziara yake ya Kikazi Mkoani Tanga.
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka pamoja na Viongozi wa kitaifa
alioambatana wakisaini Vitabu vya wageni mara baada ya kuwasiri katika
ofisi ya CCM Tanga
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tanga Ndg:Abdi Makange akimkaribisha Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shakakuzungumza na wanaCCM mkoani Tanga
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mkutano ulio fanyika katika
ukumbi wa CCM mkoa lakini pia katika Mazungumzo yake alimtaka ,Mstahiki Meya
kutopokea hongo za wapinzani ili kujiuzuru alisema ''MSTAHIKI MEYA TUNATAMBUA
CHAMA CHA CUF KINATAKA KUKUPA HONGO ILI UJIZURU NAFASI HIYO NNAKUTAHADHARISHA
KAMWE USIJARIBU KUKICHEZEA CHAMA CHA MAPINDUZI NA SISI KAMA VIJANA WA CCM
TUNAKUTAKA KUPUUZA YOTE NA KUFANYA KAZI BILA VISHAWISHI VYOVYOTE ILI TUFIKIE
MALENGO YA KUITEKELEZA ILANI YA CCM 2015-2020 UCHAGUZI UMEKWISHA SASA NI
MUDA WA KAZI''
Mstahiki Meya Wa Jiji la Tanga Ndg.Mustafa Mhina akizungumza na
kumhakikishia Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa ya kua kamwe hawezi kuyumbishwa na
upinzani na Anawaahidi wana Tanga kufanya kazi kikamilifu ili kuleta maendeleo
katika Jiji la Tanga.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndg.Shaka Hamdu Shakaakipokea wanachama
Wapya toka Chuo Cha Utumishi Tanga
Wanachama Wapya Wakila kiapo cha Chama na Jumuiya zake.
No comments:
Post a Comment