Mradi wa Uwekaji Taa zinazotumia nguvu ya jua ukiendelea katika maeneo mbalimbali ya barabara za Unguja kama inavyoonekana pichani ni moja ya sehemu ya barabara ya amani zikiwa tayari zimefungwa na kutowa huduma hiyo wakati wa usiku kutowa mwanga kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Elimu na Nishati Jadidifu Miongoni mwa Maeneo Mapya ya Ushirikiano kati ya
Tanzania na Namibia
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe.
Netumbo Nandi...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment