Abiria wa Meli ya Sea Link kutoka Kisiwani Pemba wakiteremka katika meli hiyo baada ya kufunga gati katika bandari ya forodhani Unguja, Usafiri kati ya Unguja na Pemba umekuwa wa uhakika na kwa abiria wa pande hizi mbili kwa kuimarika huduma ya usafari katika Zanzibar na kupunguza ile kero ya usafiri na kuchukua baadhi ya Watu kutumia mwanya huo kuuza tiketi kwa bei ya juu. kwa sasa kuna meli tatu kubwa zinazotowa huduma hiyo ya usafiri Ikiwemo Meli Mpya ya Shirika la Meli Zanzibar MV Mapinduzi II, Serengeti na Sea Link,
EXIM BANK YAENDELEA KUWAINUA KIUCHUMI WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUPITIA MPANGO
WA WEP
-
Exim Bank, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP),
imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa
wanawak...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment