Abiria wa Meli ya Sea Link kutoka Kisiwani Pemba wakiteremka katika meli hiyo baada ya kufunga gati katika bandari ya forodhani Unguja, Usafiri kati ya Unguja na Pemba umekuwa wa uhakika na kwa abiria wa pande hizi mbili kwa kuimarika huduma ya usafari katika Zanzibar na kupunguza ile kero ya usafiri na kuchukua baadhi ya Watu kutumia mwanya huo kuuza tiketi kwa bei ya juu. kwa sasa kuna meli tatu kubwa zinazotowa huduma hiyo ya usafiri Ikiwemo Meli Mpya ya Shirika la Meli Zanzibar MV Mapinduzi II, Serengeti na Sea Link,
JWTZ yajivunia kutoa msaada na uokoaji kwa binadamu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa limesema limeimarisha uwezo wa
Jeshi la Kujenga Taifa (JWTZ) katika shughul...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment