Wananchi wa Zenj wakiwa katika harakati za hapa na pale kujitafutia mahitaji yao katika mitaa ya darajani wakati wa kipindi hichi cha mfungo wa mwezi wa Mtukufu wa Ramadhani wakijiandaa na maandalizi ya sikuku kwa kujipatia kofia kwa ajili ya Sala ya Eddi baada ya mfungo.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment