Habari za Punde

Harakati za Mitaani Zenj

Wananchi wa Zenj wakiwa katika harakati za hapa na pale kujitafutia mahitaji yao katika mitaa ya darajani wakati wa kipindi hichi cha mfungo wa mwezi wa Mtukufu wa Ramadhani wakijiandaa na maandalizi ya sikuku kwa kujipatia kofia kwa ajili ya Sala ya Eddi baada ya mfungo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.