Habari za Punde

Jumuiya ya Taqwa yakabidhi futari kwa kaya 460 zinazolea watoto yatima kisiwani Pemba

 VIROBA vya vipolo vikiwa na futari mbali mbali ambazo zimekabidhiwa kwa kaya 460 zinazolea watoto mayatima kwa majimbo manne kisiwani Pemba, futari hiyo iliyotolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 GARI aina ya kikeri ikipakia futari mbali mbali na kuzipeleka katika shehia ya Ole ikiwa ni msaada unaotolewa kwa watoto mayatima na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 VIONGOZI mbali mbali wa Jumuiya ya tahafidhi Qurani na maendeleo ya kiislamu Ole, wakijadiliana jambo mara baada ya kupakiwa kwa futari polo 60 za futari kupelekwa katika moja ya shehia yenye watoto mayatima, futari hiyo iliyotolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)


MKURUGENZI wa Fedha kutoka Jumuiya ya TAQWA Tanzania Ukhuti Tausi Ali Mkasiwa, akimkabidhi futari mama mlezi wa watoto mayatima katika kijiji cha Ole, futari hiyo iliyotolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)PEMBA.)

  MKURUGENZI wa Fedha kutoka Jumuiya ya TAQWA Tanzania Ukhuti Tausi Ali Mkasiwa, akiwakabidhi futari watoto mayatima katika kijiji cha Ole, futari hiyo imetolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, 
WAANDISHI wa Habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari wakizungumza na Mkurugenzi wa Fedha kutoka Jumuiya ya TAQWA Tanzania, Ukhuti Tausi Ali Mkasiwa mara baada ya kumalizika kwa zoezi la utoafi wa futari kwa kaya 460 zinazolea watoto mayatima kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANAKAYA mbali mbali kutoka shehia ya Kiungoni Jimbo la Mgogoni Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakisubiri kupatiwa msaada wa futari iliyotolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANANCHI wa Tahfidh Qurani Ole, wakishusha mizigo ya Futari katika gari mara baada ya kuwasili katika shehia ya Kiungoni, zilizotolewa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZAZI wanaolea watoto mayatima katika shehia ya Kiungoni wakiondoka na misaada yao ya futari baada ya kukabidhiwa na Jumuiya ya Kusaidia kuboredha maisha ya watoto matima wa Majumbani Tanzania (TAQWA).(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.