Habari za Punde

Faidika na Sera ya Utalii kwa wote


Miongoni mwa Wavuvi wa eneo la Mnarani Makangale, kisiwani Pemba akiuza Bidhaa yake ya Pweza, katika Hoteli ya Mantareef ilioko Makangale, na kufaidika na sera ya Utalii kwa wote.


Picha na Bakar Mussa-Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.