Habari za Punde

Innaa Lillaahi wainnaa ilayhi Raajiuun: Bondia Maarufu duniani Mohammed Ali afariki dunia.


Bingwa wa Ndondi alitejipatia umaarufu mkubwa duniani ni Mohammed Ali amehitimisha maisha yake jana Phoenix - area Hospital baada ya kuugua kwa muda mrefu akiwa na umri wa miaka 74

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.