Habari za Punde

Tamasha la 21 la Utamaduni wa Mzanzibari

 ZANA za Utamaduni zilizokuwa zikitumika kusagia  nafaka mbalimbali  kama zinvyoneshwa na wasanii wetu katika maonyesho ya Tamasha iliyofanyika katika Mnara wa kumbumkumbu  wa miaka 50 Michenzani.

  WANANCHI  mbalimbali wakishuhudia  moja kati ya kiburudisho katika fensi hiyo iliyofanyika katika Mnara wa kumbumkumbu  wa miaka 50 Michenzani.
 WASANII WA UTAMADUNI  wakionyesha igizo la  ung’owaji wa jino katika  Tamasha la 21  Utamaduni wa Mzanzibari  katika maonyesho yaliyofanyika  katika Mnara wa kumbumkumbu  wa miaka 50 Mchenzani.
 WAZIRI wa Habari, Utlii,Utamaduni na Michezo Zanzibar Rashid Ali Juma akipokea maonesho ya fensi mbali mbali  ya Tamasha la 21 la Utamaduni wa Mzanzibari  yaliyofanyika  katika Mnara wa kumbumkumbu  wa miaka 50 Mchenzani.
WAJASIRIAMALI wakionesha bidhaa mbali mbali  walizotengeza  katika maonyesho ya Tamasha iliyofanyika katika Mnara wa kumbumkumbu  wa miaka 50 Mchenzani.
. (PICHA NA MIZA OTHMAN – HABARI MAELEZO –ZANZIBAR). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.