Habari za Punde

UNFPA Latoa Elimu ya Uzazi Salama Vijiji Kupitia Tamasha la Kimataifa la Nchi za Jahazi Zanzibar (ZIFF).

Afisa Habari wa UNFPA  Zanzibar Ali Haji akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano huo, (kulia) Mwakilishi wa Shirika UNFPA Dk. Natalia Kanem.
Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mwakilishi wa UNFPA  Dk. Natalia Kanem wakati wa mazungumzo hayo yaliyofanyika Ofisi za Umoja wa Mataifa Zanzibar ziliopo Kinazini Mjini.
Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu (UNFPA) Dk. Natalia Kanem (alievaa njano) akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ushiriki wao katika  kuhamasisha uzazi salama katika Tamasha la Kimataifa la Nchi za Jahazi (ZIFF) linaloendelea Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.