Habari za Punde

Zanzibar Yaandaa Kongamano la Zao la Mwani katika Kijiji cha Mwangapwani Wilaya ya Kaskazini ‘B’ UNGUJA 23.7.2016

Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Hamad Rashid Mohammed akizungumza na Waandishi wa Habari  Ofisini kwake Maruhubi kuhusiana na  Kongano la zao la Mwani litakalofanyika  Kijiji cha Mangapwani  Wilaya Kaskazini ‘B’ (kulia) Mtafiti kutoka Taasisi ya Sayansi za Bahari  Zanzibar Dkt. Flower Ezekiel Msuya na (kushoto) Katibu Mkuu Wizara hiyo Ali Juma
Baadhi ya waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali waliohudhuria katika mkutano huo wakimsikiliza Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Hamad Rashidi.
Dkt. Flower Ezekiel Msuya  akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari kuhusu mambo yatakayofanyika kwenye Kongano hilo  litakalofanyika Kijiji cha Mangapwani Wilaya ya Kaskazini ‘B’.(Picha na Salmin Saidi/Maelezo)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.