Habari za Punde

Mheshimiwa Simai Mohammed akituwakilisha nchini Mauritius

 Mwakilishi wa jimbo la  Tunguu, Mheshimiwa Simai 

Mohammed  Said (Mpakabasi) akijiandaa kutoa ripoti ya 

Parliamentary Agenda for economic transformation in Africa 

through access to affordable and clean energy in Africa by 

the year 2030  nchini Mauritius ambapo yupo pamoja 

ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 47 wa  Umoja wa  

Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola  Kanda ya Afirika 

(CPA African Region).

Mkutano huo ulianza Agosti 22 na kumalizika Agosti 27 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.