WANANCHI wa shehia ya Mtemani Jimbo la Wingwi wilaya ya
Micheweni Pemba, wakisikiliza uwasilishaji wa namna ya kuandaa sheria na katiba,
mkutano huo wa wazi uliandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC
tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
WANANCHI wa shehia ya Mtemani Jimbo la Wingwi wilaya ya Micheweni Pemba, wakisikiliza uwasilishaji wa namna ya kuandaa sheria na katiba, mkutano huo wa wazi uliandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
SHEHA wa shehia ya Mtemani Jimbo la Wingwi wilaya ya Micheweni Mohamed Ali Hamad, akifungua mkutano wa wazi, juu ya utayarishaji wa sheria na katiba ulioandaliwa na ZLSC tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MMOJA wa wananchi wa Shehia ya Mtemani
wilaya ya Micheweni Pemba, akiuliza suali, kwenye mkutano wa wazi wa
kufundishwa utayarishwaji wa katiba na sheria na watendaji wa Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba,
(Picha na Haji Nassor, Pemba).
MMOJA wa wananchi wa Shehia ya Mtemani wilaya ya Micheweni Pemba, akiuliza suali, kwenye mkutano wa wazi wa kufundishwa utayarishwaji wa katiba na sheria na watendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akizungumza kwenye mkutano wa
wazi, kwa wananchi wa shehia ya Mtemani wilaya ya Micheweni Pemba, juu ya elimu
ya utayarishaji wa Katiba na sheria,
(Picha na Haji nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment