Habari za Punde

Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Kituo cha Amali Daya Mtambwe Kisiwani Pemba Waanza Matayarisho Yake.

Transfoma kutoka Shirika la Umeme Zanzibar ZECO, ikiwa imeshawekwa kwenye eneo Daya Mtambwe wilaya ya Wete mkoa wa kaskazini Pemba, panapojengwa jengo jipya la Chuo cha Amali
Eneo la Daya Mtambwe Wilaya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba, mbalo linaendelea kutayarishwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la jipya la kisasa, la Chuo cha Amali linalojengwa na kampuni ya kizalengo ya ZECCON co LTD ya Zanzibar
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pembe Juma, akiwa na Mhandishi wa ujenzi wa jengo la Chuo cha Amali eneo la Daya Mtambwe wilaya ya Wete mkoa wa kaskazini Pemba, wakati waziri huyo alipotembelea ujenzi huo

Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Zanzibar Mhe: Riziki Pembe Juma akizungumza jambo, wakati alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa jengo la Chuo cha Amali Daya Mtambwe wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, mbele ya mhandisi wa ujenzi wa jengo hilo, kutoka kampuni ya ZECCON Co Ltd Zanzibar

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.